VI2KO BLOG NI BLOG KWA AJILI YA VITUKO UNAWEZA KUPOST KITUKO CHAKO NA KIKAONEKANA KATIKA BLOG HII TUMA SMS KUPITIA NAMBA 0782889882 AU E-MAIL KUPITIA vi2koBlog@yahoo.com au KWENYE FACEBOOK FAN PAGE YETU BILA KUSAHAU NA JINA LAKO

ADV

Monday, September 24, 2012

PICHA KUMI ZA VICHEKESHO KUTOKA FACEBOOK FAN PAGE YETU

LIKE OUR PAGE ON FACEBOOK  Vi2ko Blog
FOLLOW US ON TWITEER  @Vi2koBlog
  
1. ze ekizamineshen rumu no chiting
Photo: ze ekizamineshen rumu no chiting 
 02.Enzi ze2 zile.....

03.Subira yavuta Kheri bhana Yatajaa tu Soon
 
04.ukiwafanyia kumi tu kama hao utakiona unachokitaka
 05.Eeeeh yatachemka 2 soon.....
 
06.Ndio 2taambia hv au?
07.New version baiskeli......
  08.Nan muongo zaidi ya mwezake hapo?

09.Wakina dada "JIPANGENI"
 10.Kukotaka na ubeze we2 na kuathiriwa UTANDAWAZI hiki ndicho kijacho.....

Tuesday, July 24, 2012

MITANDAO YA KIJAMII NA VI2KO

SASA HUYU JAMAA TUMUITE NANA MAANA AKIWA KAZINI YEYE NDIO MKALI ILE MBAYA YAN LAKINI AKIRUDI NYUMBANI MMMH YEYE NDIO MZEMBE KUPITA MAELEZO DAH KWELI SIKU ZOTE EVA HASHINDWI ADAM KUMSHAWISHI.

KWE2 MWEMBENI HAIR CUTTING SALON......HAHAHAHA.......


JAMAA KAFUGA NYELE HADI MASHINE IKAGOMA KUNYOA SO WAKAONA NO WAY OUT ZAIDI YA KUTUMIA TYPE NYINGINE YA CUTTING MACHINE ILIMRADI ANYOE TU HAPO SALON USHINDWE WEWE TU KILA TPE YA CUTTING MACHINE IPO HAPO, KWE2 MWEMBENI HAIR CUTTING SALON



HATA NA KWETU TWACHEZAGA POOL TABLE SIO MUJINI TU NA HATA SISI NI WABUNIFU WA MAMBO HIZO BHANA TENA HAPA HATUNA HATA HAJA YA "TOKEN" HAPA TUNAKIPIGA KAMA KAWA TENA KWA MPANGO YAN.

Friday, July 20, 2012

Vi2ko Mtaani

Jamani haya maisha sijui nifanye nnili nipate RIZIKI maana dis tyme wananch hawatupi chakula kabsa kisa v2 vimepanda bei lol.


Dizan kama maza aninizingu hiv ye kila siku ananilazimisha kuoga sasa leo nammaliza kabisa yana ujinga wenyewe ukae kando

Sasa nyie leo ndio mtanitambua si hamtaki kucheza na mmm sasa leo mtacheza mtake msitake.

Umezidi kukaa UC*I wewe sasa inabidi tukuhifadhi

PICHA ZA VICHEKESHO ZILIZOPOSTIWA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII.



Nlidhan maji.........













This is standby generator..........



















POSTED BY;

Hii ndo dawa ya UKIMWI...........




Thursday, July 19, 2012

PICHA ZA VITUKO NA VICHEKESHO NILIZOKUTATANAZO FACEBOOK AC ZA RAFIKI ZANGU.

 
 
 
 

Haya pacha wangu,.there you go......hahaha

 

ata simba huwa anapenda kutok-elezeiyer kam ivi

 
 
 
 
i love you

VITUKO NA VICHEKESHO USWAZI

Jamaaa yupo kiabiashara zaidi na new style ya surual "DOUBLE BELT"

picha A                                       picha B 

Sasa hapo kwenye picha A ukiangalia kwa kukurupuka unaweza ukazan ki2 kinghine kabisa ambacho hakikualengo kamili la picha hiyo.
hapo sasa utata tupu kwenya picha B

Mambo ya uswahilini sasa Jamaa kashikwa UGONI anatembezwa UCHI mtaa mzima sasa hapo ndio utajua mke wa m2 sumu jamaa kawa mdogo kama piriton vle